Unadhani kunafuliwa kila siku basi Mkuu Labda kama wafuaji wakifua nisipokuwepo ndio wana matumizi mabaya ya maji yanayofanya bili inakuwa kubwa.Itabidi upunguze matumizi ya maji...kufua iwe ni baadhi ya siku na sio kila siku...kufua fua kuna maliza maji sana.
Sijaelewa hapa Mkuu kwamba linakuwa linachuruzisha maji huku mengine yanaingia ndani?Cheki bomba kutoka kwenye mita mpk kwako labda limepasuka linaongeza bili
Huku kwetu kuna baadhi wanachaji 2000 na wengine 2500 kwa unit moja.Kwanza inabidi tueleweshana hapa
Unapoambiwa umetumia unit moja maana yake nini? Hii ni sawa na ujazo wa lita 1,000.
Kisha tufahamishane hapa unit moja ya maji tunachajiwa kiasi gani?
Jee hizi bei zipo uniform nchi nzima.. kama vile jamaa zetu wa Tanesco?
Bil inapokuja tofauti,hii mara nyingi mteja huwa anaonewa maana mechanism za kuikataa huwa na changamoto.
Hapa tunahitaji assesors wawepo katika ku resolve hizi changamoto.
Kuitembelea nyumba na kuona namna ya maisha yao,lazima itakupa mwanga. Haiwezekani mwezi huu 25,000 gafla mwezi unaofata 63,000 tena inarudi 22,000.
Hizi taasisi za maji zinawajibu pia kuona maji yanatumika kwa usahihi,sio tu kukusanya mapato. Wawe wanawashauri pia wateja namna bora ya kuhifadhi na kutumia maji. Pale panapotekea utofauti wa matumizi kwenda mara 2 zaidi wawatembelee wateja wao na kupata maelezo.
Maji ni uhai. Tulinde vyanzo vya maji.
Sent using iphone pro max
Je ukifunga bomba huwa kuna matone yanamwagika?, ni heri ufungulie maji yamwagike kuliko yale matone...kule wanahesabu.Unadhani kunafuliwa kila siku basi Mkuu Labda kama wafuaji wakifua nisipokuwepo ndio wana matumizi mabaya ya maji yanayofanya bili inakuwa kubwa.
Ukachukua hatua gani Mkuu au ndio ikabidi kuwafuata Ofisini?Juzi wananitumia meseji nimetumia unit 13 (yaani kutoka 205 mpaka 218) . Kwenda kuhakiki kwenye mita ni 214. Yaani wamenipiga zaidi ya unit 4. Hawa wasoma mita ni vilaza wasiokuwa na weledi au ni strategy ya kampuni kuwapiga wateja kukuza mapato ya shirika.
Labda hivi mana unaeza amka asubuhi ukakuta bomba la nje chini pamelowa maji ambayo si yale yakufunguliwa yakamwagika na ukienda kuangalia unakuta bomba linamwaga matone matone ambayo yamedondoka kwa usiku mzima.Je ukifunga bomba huwa kuna matone yanamwagika?, ni heri ufungulie maji yamwagike kuliko yale matone...kule wanahesabu.
Tafuta fundi alikaze, bill itapungua.Labda hivi mana unaeza amka asubuhi ukakuta bomba la nje chini pamelowa maji ambayo si yale yakufunguliwa yakamwagika na ukienda kuangalia unakuta bomba linamwaga matone matone ambayo yamedondoka kwa usiku mzima.
Kwanza inabidi tueleweshana hapa
Unapoambiwa umetumia unit moja maana yake nini? Hii ni sawa na ujazo wa lita 1,000.
Kisha tufahamishane hapa unit moja ya maji tunachajiwa kiasi gani?
Jee hizi bei zipo uniform nchi nzima.. kama vile jamaa zetu wa Tanesco?
Bil inapokuja tofauti,hii mara nyingi mteja huwa anaonewa maana mechanism za kuikataa huwa na changamoto.
Hapa tunahitaji assesors wawepo katika ku resolve hizi changamoto.
Kuitembelea nyumba na kuona namna ya maisha yao,lazima itakupa mwanga. Haiwezekani mwezi huu 25,000 gafla mwezi unaofata 63,000 tena inarudi 22,000.
Hizi taasisi za maji zinawajibu pia kuona maji yanatumika kwa usahihi,sio tu kukusanya mapato. Wawe wanawashauri pia wateja namna bora ya kuhifadhi na kutumia maji. Pale panapotekea utofauti wa matumizi kwenda mara 2 zaidi wawatembelee wateja wao na kupata maelezo.
Maji ni uhai. Tulinde vyanzo vya maji.
Sent using iphone pro max
dhibiti, wajaze kwenye ndoo yansiku moja unaitenga wajaze maji kote kwenye ndoo za kutumia hata kama una majaba yajazwe na bomba ufunge had yaishe hayo ndio wachote tenaUnadhani kunafuliwa kila siku basi Mkuu Labda kama wafuaji wakifua nisipokuwepo ndio wana matumizi mabaya ya maji yanayofanya bili inakuwa kubwa.
Habarini wakuu. Natumai tunaendelea vyema katika mapambano ya kujikinga na hili janga la Corona.
Ni yapi matumizi bora ya maji ya nyumbani kwa upande wako na je bili unayoitarajia kwa mwezi ndo inayokuja?
Ikitokea labda kwa mwezi gharama zimekuja juu mfano umejiwekea labda kwa ukubwa wa familia uliyonayo kwa mwezi ni units 10, 15 au zaidi halafu ikaja bili nje ya ile uliyojiwekea ni kipi unafanya kudhibiti hayo matumizi kwa mwezi ujao ili yabaki yale ambayo ndio umejiwekea?
Aisee..Tanesco Bil zao sio uniform Nachi nzima, kuna baadhi ya mikoa shilingi elfu moja unapata unit 8, lakini Kwa kiasi hichohicho kuna baadhi ya mikoa unapata unit 2.8
Nakutafuta Dada nimepoteza simu nipigie....