Kampeni ya No Reforms, No elections imepata upinzani ndani na nje ya chama cha Chadema.
Ndani ya Chadema, kuna kundi ambalo linaona kabisa kuwa kampeni hii itawatoa kwenye malengo yao ya kisiasa na hivyo kumshinikiza mwenyekiti wao TAL pamoja na makamu mwenyekiti waachane na msimamo huo ili washiriki uchaguzi.
Je, ni yapi matumaini ya watia nia wa Chadema kwenye uchaguzi huu?
Ukizingatia malengo ya kampeni ya No reforms, no election ni kuwatengenezea wagombea wa vyama vya upinzani mazingira ya usawa katika uchaguzi.
Ikumbukwe kwamba chaguzi za mwaka 2019/2020 zilikuwa na sintofahamu nyingi kama kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Na mwaka 2024, uchaguzi wa serikali za mitaa pia unalalamikiwa.
Je, watia nia wa Chadema wanaona mazingira ya ushindani katika uchaguzi mwaka huu yanaridhisha? Je, No Reforms, No elections ni kupoteza muda na fedha?
Ndani ya Chadema, kuna kundi ambalo linaona kabisa kuwa kampeni hii itawatoa kwenye malengo yao ya kisiasa na hivyo kumshinikiza mwenyekiti wao TAL pamoja na makamu mwenyekiti waachane na msimamo huo ili washiriki uchaguzi.
Je, ni yapi matumaini ya watia nia wa Chadema kwenye uchaguzi huu?
Ukizingatia malengo ya kampeni ya No reforms, no election ni kuwatengenezea wagombea wa vyama vya upinzani mazingira ya usawa katika uchaguzi.
Ikumbukwe kwamba chaguzi za mwaka 2019/2020 zilikuwa na sintofahamu nyingi kama kuenguliwa kwa wagombea wa vyama vya upinzani kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Na mwaka 2024, uchaguzi wa serikali za mitaa pia unalalamikiwa.
Je, watia nia wa Chadema wanaona mazingira ya ushindani katika uchaguzi mwaka huu yanaridhisha? Je, No Reforms, No elections ni kupoteza muda na fedha?