Ni yapi majukumu ya wizara ya kazi?

illegal migrant

JF-Expert Member
Oct 18, 2013
1,277
1,119
Naomba ninenee ukweli binafsi siyajui majukumu ya wizara hii, kwani bado naona kuna majipu mengi ambayo imeyafumbia macho tangu miaka nenda rudi kuna madudu mengi sana katika soko la ajira mfano mdogo ni wafanyakazi kulazimishwa kuwekewa mishahara yao benki fulani, au wafanyakazi kulazimishwa kuchangia mfuko fulani wa hifadhi ya jamii ambayo ni kinyume na sheria ya mahusiano kazini inavyoelekeza mawakala wa ajira bado wapo wanatunyonya makampuni ya ulinzi watu wanateseka nibalaa.

Hata baada ya serikali hii ya hapa kazi tu bado sielewi kikubwa nilichokiona ni mh waziri kuzungumzia kuhusu kuongeza udhibiti utoaji vibali kwa wageni ambapo hii haihusu wizara ya kazi pekee bali ni uhamiaji na utumishi sasa wizara hii inatusaidiaje sisi tunaopata riziki kule kwa kina kanjbai,sasa unaingia mkoa wa mara kaa kikakamavu.
 
napenda toa pongezi kidogo kwa wizara hii kwa awamu hii ya nne. lakini maagizo yako uliyoacha pale vodacom kwa HR juu ya malipo hayajatekelezwa mpaka leo. pili tupo wengine tuohitaji msaada wako toka Star Media Ltd, wachina hawa wanajifanya wameingia ubia na TBC lkn hakuna iyo pale ndan wanajitegemea na wamekuwa wakitunyonya sana wafanyakazi upande wa malipo ni kidogo sanas pia hata watanzania. Moja wana ving'amuzi watoavyo sasa ambavyop watanzania wanatakiwa wapate channel za local bure lkn hawapati mpaka walipie channel zote, wametoa decoder za dish klwa mikoa ya simiyu, katavi nk, hizi decoder za kuwa nazo makini sana watanzania wengi wanalia baada ya kununua, pili TBS waje wakague ubora wa ving'amuzi vyao, TCRA pia waje waseme channel zatakiwa bue au mpaka watanzania walipie. NNE wachina wanauza simu ambazo ukiziangalia ktk system ya TCRA ni fake, TRA walikuja pale kukagua lkn zikatolewa zikaenda fichwa call center, wanauza pia TV na vifaa vingine vya pikipiki wakiagiza mzigo unakuja kama ving'amuzi ilandani kuna vyote ivyo. yapo mengi ilaa daah, salamu hizi zimfikie pia Mhe, Nape ajue kiendeleacho mle ndan
 
Back
Top Bottom