Hali zenu wakuu.
Kuna baadhi ya watu wamejitolea kuja kutuletea kadi za vijana za CCM kwa ajili ya kumchagua mbunge wa jimbo letu.
Tatizo ni kwamba, wakati wa kutuandikisha, wamechukua ID number ya kadi ya kupigia kura pamoja na jina na mwaka nk.
Je kwanini wachukue ID number? Na inahusu nini?
Kuna baadhi ya watu wamejitolea kuja kutuletea kadi za vijana za CCM kwa ajili ya kumchagua mbunge wa jimbo letu.
Tatizo ni kwamba, wakati wa kutuandikisha, wamechukua ID number ya kadi ya kupigia kura pamoja na jina na mwaka nk.
Je kwanini wachukue ID number? Na inahusu nini?