wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 559
Tanzania kuna wizara tofauti je ni ipi ngumu inayomgusa mtanzania mpaka wa chini
Mimi naona ya kwanza wizara ya Ardhi
Mimi naona ya kwanza wizara ya Ardhi
Serikali za mitaa, inahusika na mengi ikiwamo ardhi, afya, elimu n.k.Tanzania kuna wizara tofauti je ni ipi ngumu inayomgusa mtanzania mpaka wa chini
Mimi naona ya kwanza wizara ya Ardhi
Wizara ya fedha ndo unabeba madubwana yote bila hiyo nchi yenyewe inayumbaTanzania kuna wizara tofauti je ni ipi ngumu inayomgusa mtanzania mpaka wa chini
Mimi naona ya kwanza wizara ya Ardhi
KilimoTanzania kuna wizara tofauti je ni ipi ngumu inayomgusa mtanzania mpaka wa chini
Mimi naona ya kwanza wizara ya Ardhi
TAMISEMI