ni wivuu au nini tatizo

ni wivuu au nini tatizo

Sasa wanashikana shikana nini na kaka yake au wanajimega,
 
may be you dont share much in common...
 
Hahahaaaa, undugu wa mbaliiiiii!
Abiria chunga mzigoooooo!
 
..Kim, ulishawahi kutafunana na binamu? Wajua mie siamini naweza lala na binamu yangu, pole

Sijawahi, ila nshasikia kesi nyingi za hivyo.
Kuna mama mmoja jirani yangu yeye aliachana na mumewe baada ya kumfuma na akimgegeda binamu.
 
Mkataze hiyo tabia .... be a man a man lazima awe na power if u dont have power to her now your dead man
 
Back
Top Bottom