Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,110
- 4,997
Kwenye Baraza la Mawaziri la sasa ni yupi kati yao unaona kabisa hana tija?
Kwanini unaona kwamba amefeli kutimiza wajibu aliopewa?
Je, amefeli kwa sababu amekabidhiwa sekta asiyo na uzoefu nayo au hana sifa kabisa yakuwa Waziri?
Nani ungetamani achukue nafasi yake?
Kwanini unaona kwamba amefeli kutimiza wajibu aliopewa?
Je, amefeli kwa sababu amekabidhiwa sekta asiyo na uzoefu nayo au hana sifa kabisa yakuwa Waziri?
Nani ungetamani achukue nafasi yake?