Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,586
- 50,683
Dada wa kazi anakupa raha!!hongera kwa yfu.mwambie aendelee kuwa hivyo hivyo😅😅😅Ndugu yangu tabia kubadilika ni ngumu, she cant aisee, nimefanya mpaka kwa vitendo, But still Hakuna, utakuta tu vitu havipo sawa!
Sasa akatokea Dada wakazi is wired like me! Msafi mno, sasa huyo ndo kwa kweli ananifanya Nina raha!
Yani yeye hata nikimwambia fua hizi nasafiri, hemu fanya faster rekebisha hiki anafanya! Mwishowe keshanijulia na wala simwelekezi tena!
Now, the issue is akiondoka Sasa sijui, maana naona wifi yako kaanza figisu figisu, ila najitahidi kumkingia kifua!
Yani kwa kifupi huyu Dada wa kazi ni shockabsobder ya udhaifu wa huyu Mama, anasawazisha!