chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Elimu haihusiani na mapenzi hata kidogo,what matters ni mapenzi ya kweli.mchukue darasa la saba,au mwenye degree,wote sawa,labda useme mwenye elimu ya juu mtasaidiana kujenga maisha,ila wa lasaba atakuwa tegemezi..lakini hakuna mahusiano yoyote juu ya elimu na mapenzi.