Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Mkuu, jamaa ameulizia location bana....wapi mke anapatikana?
Mjibu hivi: tampata shuleni kama anataka mwalimu.....au anaweza akajikuta anaibuka na MEM au MES.
Mjibu hivi: tampata shuleni kama anataka mwalimu.....au anaweza akajikuta anaibuka na MEM au MES.
Kamanda umeadimika kweli ndo mambo ya kusaka jiko nini?
Nakushauri ukamate Mwalimu wa shule ya Msingi au wa O'Level