Bro I hope sio tooo late. Sie ni wauzaji wakubwa wa vifaa vya gym na mazoezi. Na tuna patikana Uhuru St mkabala na Benjamin Mkapa School. Treadmiils zipo mpya na better quality than Mlimani. Sie tupo katika biashara hii for tha last 6 years na hatujawahi rudishiwa treadmill na customer. Angalia hapa www.alfaqeeinvestment.com au piga sim 0719669494. Karibu na yes Kariakoo maybe kuna better products na cheap watu bado hili hatujalitambua