Ni wakati wetu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,745
Reaction score
830,860
Ukumbusho wako wa kirafiki kwamba kumekuwa na ushirika kila wakati. Tangu zamani mpaka sasa... Duniani kote.. Kuwa mshirika... Jiunge na mtandao Jenga jumuiya yq wazalendo wa Tanganyika Kuza upinzani. Huu ni wakati wetu..
It is NOW...! or NEVER...!
 
yaan watu wajiunge na nonsense, surely? huenda kwa akili zizilizoyumba
 
Mdharau mwimba, mguu huota tende.

Hata misri ilianza kama mzaha.

CCM wanaona ni business as usual kutokujua kuwa nyakati hubadilika.
 
Muda ni hakimu mzuri.. Tuupe wakati
ndio maana kupuuzwa kwa agenda za kipuuzi kwa ustawi wa demokrasia ni kwingi ndani na nje ya chadema gentleman chini ya uongozi mpya uliokosama maono na uliopoteza uelekeo
 
Kuna tetesi za kuingiza Majeshi, hivi hili Jeshi si la Wananchi?! ndio maana linaitwa JWTZ yaani Jeshi la Wananchi wa Tanzania sasa ni lini limekuwa Jeshi la CCM au Jeshi la Samia?!

Na lilianzishwa kwa lengo gani?! Kulinda mipaka yetu au kuilinda CCM??

Sisi Wananchi tunapodai HAKI zetu za KIKATIBA za kuchagua viongozi tunaowataka eidha tusaidieni WANANCHI kwasababu nyie ni Jeshi letu sisi WANANCHI na kama hamuwezi basi kaeni Makambini kataeni Amri ya kuja kupiga Wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…