GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Ni muda muafaka kama Taifa tuwe na pesa yetu ya kidijitali yaani electronic currency yenye tabia na mifumo ya blockchain technology ambayo Itakuwa chini ya usimamizi wa Benk kuu ya Tanzania ( BOT).
Tangu Rais aongelee suala la pesa za mtandaoni alipozindua jengo jipya la Bank kuu ya Tanzania tawi la Mwanza hakuna taarifa yeyote imetolewa toka BOT.
Wakati ndio sasa wa BOT kuamua kutoa pesa yake ya kidijitali yaani e-TZS kama ninavyopendekeza, currency iwe yenye tabia na mifumo ya blockchain technology.
e-Tzs Itakuwa salama zaidi kwani BOT watakuwa na uwezo wa kuifuatilia(Regulate) tofauti na pesa zingine za kidigital ambazo zipo nje ya uwezo wa BOT kuzifuatilia( out of government Control).
Hofu kubwa ambayo BOT na Serikali walikuwa nayo sasa itaenda kuisha kwani pesa hii ya ( e-TZS) Itakuwa inafanya kazi kama pesa ya kawaida (Physical cash) chini ya sheria ya BOT.
Ni muda muafaka wa Benki kuu ya Tanzania kutengeneza Application ya ( e-Tzs) ambayo itawekwa kwenye iOS store na Google store kwa watumiaji kuanza kutumia pesa hii ya kidijitali yenye muundo na mifumo ya blockchain technology.
e-TZS itarahisisha mifumo ya manunuzi yaani( On line purchases) na itaondoa mfumo wa kuwa na Fedha halisi hivyo kuwezesha malipo bila pesa halisi yaani( Cashless transaction).
Muda wa maamuzi ndio sasa, Kwa kuwa Taifa limewapa BOT nguvu ya kusimamia mifumo yetu ya fedha hivyo ushauri huu ni muhimu kwa kuwa na Taifa imara lenye nguvu ya kitekinolojia.
e-TZS wallet kama ninavyopendekeza iunganishwe moja kwa moja na mifumo ya Mabenki pamoja na mifumo ya simu, e-TZS wallet Itakuwa mkombozi kwa wafanyabiashara, Wakulima na wafanyakazi wa Taifa hili la Tanzania.
Tangu Rais aongelee suala la pesa za mtandaoni alipozindua jengo jipya la Bank kuu ya Tanzania tawi la Mwanza hakuna taarifa yeyote imetolewa toka BOT.
Wakati ndio sasa wa BOT kuamua kutoa pesa yake ya kidijitali yaani e-TZS kama ninavyopendekeza, currency iwe yenye tabia na mifumo ya blockchain technology.
e-Tzs Itakuwa salama zaidi kwani BOT watakuwa na uwezo wa kuifuatilia(Regulate) tofauti na pesa zingine za kidigital ambazo zipo nje ya uwezo wa BOT kuzifuatilia( out of government Control).
Hofu kubwa ambayo BOT na Serikali walikuwa nayo sasa itaenda kuisha kwani pesa hii ya ( e-TZS) Itakuwa inafanya kazi kama pesa ya kawaida (Physical cash) chini ya sheria ya BOT.
Ni muda muafaka wa Benki kuu ya Tanzania kutengeneza Application ya ( e-Tzs) ambayo itawekwa kwenye iOS store na Google store kwa watumiaji kuanza kutumia pesa hii ya kidijitali yenye muundo na mifumo ya blockchain technology.
e-TZS itarahisisha mifumo ya manunuzi yaani( On line purchases) na itaondoa mfumo wa kuwa na Fedha halisi hivyo kuwezesha malipo bila pesa halisi yaani( Cashless transaction).
Muda wa maamuzi ndio sasa, Kwa kuwa Taifa limewapa BOT nguvu ya kusimamia mifumo yetu ya fedha hivyo ushauri huu ni muhimu kwa kuwa na Taifa imara lenye nguvu ya kitekinolojia.
e-TZS wallet kama ninavyopendekeza iunganishwe moja kwa moja na mifumo ya Mabenki pamoja na mifumo ya simu, e-TZS wallet Itakuwa mkombozi kwa wafanyabiashara, Wakulima na wafanyakazi wa Taifa hili la Tanzania.