Ni wakati umefika sasa kwa NCCR Mageuzi kurudisha heshima ya upinzani, CHADEMA wanatia aibu!

nikiwa kama mwana chadema,nasema hii ni aibu na ujinga kwa mbowe slaa na tundu,nasema hawatumii kabisa akiri, how comes mnatumia choper kuzunguka kwa wananchi masikini,halafu mnawaambia ccm haijawaletea maji,kwa nini zisitumike hizo pesa kuwachimbia wananvhi visima?na kwa nini hiyo pesa wasipewe makatibu huko wilayani kuimalisha chama vijijini? ukweli nina hasira,mbowe na wapuuzi wenzako achieni madaraka km vipi tutawaorganize wananchi wasusie mikutno yenu ili muachie madaraka,nina hasira siyo kawaida.
Pointi kali hii mkuu, kama kweli wana uchungu na wananchi hizo hela wangetoa kwa wananchi ziwasaidie
 
Hawa jamaa ni aibu kwa siasa za Tanzania.

Walidhani wananchi mafala kwa kuwapelekea chopa...

Mzimu wa ZZK kazini ndo kwishney wasitegemee watarudi kwa dizaini yao ya ukabila,udini na ukanda watabaki kule kule kaskazini na chopa zao...

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya chaguzi zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!

Ni kweli kabisa kuwa CHADEMA haifai kuwa tena chama cha upinzani kwa kuwa wakati umefika kwa CHADEMA kurudisha heshima ya nchi, CCM wanatia aibu
 
Nadhani sasa hoja ya kuwa CCM wanaiba kura itakuwa imefungwa na sasa hoja ni daftari la mpiga kura, na hili nalo litapita mtakuja mengine.

tuna eliminate mbinu moja baada ya nyingine,mpaka tuhakikishe mnatumia sera safi kushinda sio kujipendelea kila mara
 
Ww Chris Lukosi unahangaika sana. Hivi ww si mwana ccm ww? Hivi mpaka mwana ccm kuunga mkono chama fulani cha upinzani huoni kama una maslahi nacho? Au Twambie ukweli baada ya Kuenguliwa na ccm kwenye Kura za Maoni Jimbo la Kalenga ndo umepanic kiasi hicho na kuona ccm haifai na kutoa ushauri nccr-mageuzi. Lini mshabiki wa Yanga afurahishwe na mafanikio ya Simba??? Tangaza rasmi kama umejiunga na nccr tujue moja. Uache kuhangaika na kuhadaa watu hapa. CDM yatosha ni swala la mikakati na daftari kuboreshwa vijana hawana shahada za kupigia kura.
 
wape ukweli pamoja mimi cio mpinzani ila mpinzani wa kwanza na wa kweli katika tanzania hii ni NCCR mageuzi toka 1995 walijua maana ya upinzani na ustaarabu wa kupinga cio hawa makanjanja
 
Mkuu Chris Lukosi, wawezeshen Basi hao NCCR kama mlivyofanya kwa Cuf kule Zanzibar angalau tuwe na CCM C maana A na B tayari zipo. Mnajifanya mnawapenda NCCR lakini wakiinuka na kuwa tishio kwenu leo hii mtaanza kuwazushia visa vya kila aina.
 
nikiwa kama mwana chadema,nasema hii ni aibu na ujinga kwa mbowe slaa na tundu,nasema hawatumii kabisa akiri, how comes mnatumia choper kuzunguka kwa wananchi masikini,halafu mnawaambia ccm haijawaletea maji,kwa nini zisitumike hizo pesa kuwachimbia wananvhi visima?na kwa nini hiyo pesa wasipewe makatibu huko wilayani kuimalisha chama vijijini? ukweli nina hasira,mbowe na wapuuzi wenzako achieni madaraka km vipi tutawaorganize wananchi wasusie mikutno yenu ili muachie madaraka,nina hasira siyo kawaida.

mbumbumbu kama wewe kutoka ccm unaweza mwambia mwanachama gani aisaliti chadema,labda huo ushoga unao kunyemelea ukuache.....
 
katika kata zote 27 tumeona mikutano ya ccm haina watu kabisa ila ya chadema imejaa mpaka inamwagika,ngoja daftari lipite,ndo mtajua chadema ni moto,madiwani mnawapata kwa kutumia mapanga.
 
lipi ni sahihi, kuboresha daftari, CCM kutumia vyombo vya dola au CCM kuiba kura?

Yote sahihi.
 
Pointi kali hii mkuu, kama kweli wana uchungu na wananchi hizo hela wangetoa kwa wananchi ziwasaidie

ni point gani ya kijinga ametoa huyo gamba mwenzio wakati mna miaka 52 hamjafanya cha maana zaidi ya kuleta udini na ukabila,wajinga nyie
 
Waendelee tu ni haki yao kama chama halali cha upinzani.

Sent from my Lumia phone using Tapatalk
 
we the people must win against puppets of our own democracy. CCM must go no matter how hard it takes. The artificial paints wont get our eyes off sight. Always our eyes will focus on prize.

We are maintaining the pace, move forward fast.

Peoples power will prevail, it wont be easy but we will get there.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli
wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya chaguzi
zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na
chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika
ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani
ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa
makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa
hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha
jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau
hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho
ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!

teeee! tetete te eetee te!te! lini Mwana ccm akawaombea upinzani nguvu! aah ahaa ha haaa!
 
Wadanganye ndugu zako na familia yako!

Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya ]uchaguzi zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!
 
Back
Top Bottom