Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 878
- 944
Ni wakati wa kumpigia magoti Mh JK, Kwani tulimkosea sana. Aje atuambie wapi alitoa pesa za
kulipa wafanyakazi hewa na wasio hewa +kocha wa Taifa Stars, kulipa wanafunzi hewa na wasio hewa na PT, Kugharamia miradi mikubwa, kulipia bunge liwe live, kugharamia semina elekezi na safari za nje, kugharamia kuwanunulia wabunge magari ya gharama, na kuharama sherehe na karamu za kitaifa.
Na bado watu tuliishi vizuri na pesa zilikuwepo
kulipa wafanyakazi hewa na wasio hewa +kocha wa Taifa Stars, kulipa wanafunzi hewa na wasio hewa na PT, Kugharamia miradi mikubwa, kulipia bunge liwe live, kugharamia semina elekezi na safari za nje, kugharamia kuwanunulia wabunge magari ya gharama, na kuharama sherehe na karamu za kitaifa.
Na bado watu tuliishi vizuri na pesa zilikuwepo