Ni vyema kuwa na shirika kubwa la ndege/treni ya umeme na hospitali kukosa madawa ?we

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,373
6,084
Serikali yeyote makini katika kuleta maendeleo kwa wananchi wake kipaumbele kikubwa ni kutoa huduma ya kama ya afya na elimu, lakini hapa Tanzania nakubaliana na nia ya serikali ya awamu ya tano katika kuifufua shirika la ndege la ATC, serikali iliponunua ndege 2 za Bombadier ilikuwa ni mwanzo mzuri ila haraka za kuongeza ndege zingine wakati sekta ya elimu na afya inazidi kuzorota hilo si sahihi. Mashirika makubwa ya ndege mfano Kenya Airways pamoja na kuwa na ndege nyingi na za kisasa zitaendelea kupata hasara mwaka wa hesabu 2015/16 shirika hilo lilipata hasara ya dola milioni 252 na mzigo wa deni hilo serikali ya Kenya imeibeba, mashirika mengi makubwa kama Air France,Air India,Lufthansa etc huduma zao nazo zimesusua kutokana na ushindani mkubwa kutoka mashirika ya ndege ya mashariki ya kati kama Emirate, Altihadi na Flydubai ambazo zinafadhiliwa sehemu kubwa na petrodollars kutoka kwenye serikali za nchi hizo.
Wizara ya Ujenzi kutenga bilioni 500 kwa ajili wa ununuzi wa ndege zingine bila kufanya feasibility study makini itakuwa ni upotovu wa pesa, serikali itambue wapiga kura wengi sio wanaotumia usafiri wa anga ni Watanzania walio wa kipato cha chini ambao wangefurahia sana kuona huduma hizo muhimu zikitolewa bure na nzuri.
 
Serikali yeyote makini katika kuleta maendeleo kwa wananchi wake kipaumbele kikubwa ni kutoa huduma ya kama ya afya na elimu, lakini hapa Tanzania nakubaliana na nia ya serikali ya awamu ya tano katika kuifufua shirika la ndege la ATC, serikali iliponunua ndege 2 za Bombadier ilikuwa ni mwanzo mzuri ila haraka za kuongeza ndege zingine wakati sekta ya elimu na afya inazidi kuzorota hilo si sahihi. Mashirika makubwa ya ndege mfano Kenya Airways pamoja na kuwa na ndege nyingi na za kisasa zitaendelea kupata hasara mwaka wa hesabu 2015/16 shirika hilo lilipata hasara ya dola milioni 252 na mzigo wa deni hilo serikali ya Kenya imeibeba, mashirika mengi makubwa kama Air France,Air India,Lufthansa etc huduma zao nazo zimesusua kutokana na ushindani mkubwa kutoka mashirika ya ndege ya mashariki ya kati kama Emirate, Altihadi na Flydubai ambazo zinafadhiliwa sehemu kubwa na petrodollars kutoka kwenye serikali za nchi hizo.
Wizara ya Ujenzi kutenga bilioni 500 kwa ajili wa ununuzi wa ndege zingine bila kufanya feasibility study makini itakuwa ni upotovu wa pesa, serikali itambue wapiga kura wengi sio wanaotumia usafiri wa anga ni Watanzania walio wa kipato cha chini ambao wangefurahia sana kuona huduma hizo muhimu zikitolewa bure na nzuri.
Ujinga ni janga la taifa, mleta mada style youself up kichwani.
 
Serikali yeyote makini katika kuleta maendeleo kwa wananchi wake kipaumbele kikubwa ni kutoa huduma ya kama ya afya na elimu, lakini hapa Tanzania nakubaliana na nia ya serikali ya awamu ya tano katika kuifufua shirika la ndege la ATC, serikali iliponunua ndege 2 za Bombadier ilikuwa ni mwanzo mzuri ila haraka za kuongeza ndege zingine wakati sekta ya elimu na afya inazidi kuzorota hilo si sahihi. Mashirika makubwa ya ndege mfano Kenya Airways pamoja na kuwa na ndege nyingi na za kisasa zitaendelea kupata hasara mwaka wa hesabu 2015/16 shirika hilo lilipata hasara ya dola milioni 252 na mzigo wa deni hilo serikali ya Kenya imeibeba, mashirika mengi makubwa kama Air France,Air India,Lufthansa etc huduma zao nazo zimesusua kutokana na ushindani mkubwa kutoka mashirika ya ndege ya mashariki ya kati kama Emirate, Altihadi na Flydubai ambazo zinafadhiliwa sehemu kubwa na petrodollars kutoka kwenye serikali za nchi hizo.
Wizara ya Ujenzi kutenga bilioni 500 kwa ajili wa ununuzi wa ndege zingine bila kufanya feasibility study makini itakuwa ni upotovu wa pesa, serikali itambue wapiga kura wengi sio wanaotumia usafiri wa anga ni Watanzania walio wa kipato cha chini ambao wangefurahia sana kuona huduma hizo muhimu zikitolewa bure na nzuri.
Ulishaenda bohari kuu ya dawa ukaambiwa hakuna dawa?

Matatizo ya watumishi wa umma kupiga dili kwa kuingiza dawa madukani mwao usiituhumu serikali, bohari kuu ya dawa ina dawa za kutosheleza.


Labda useme wenye kufanya ujinga wabanwe, wabunge wanapatiwa fedha za maendeleo ya jimbo wanakula. JPM mmoja alimbana huko kusini. Si hao tu kuna Madaktari wanageza dawa hizo ni mitaji, suala la dawa usiipakazie serikali kuu imefanya wajibu wake. Huko ngazi za chini ndiyo kuna madudu.
 
UNAOMBEA MAGOJWA;

NANI ANAOMBEA UGOJWA

LAANA HII IAMIE NYUMBANI KWENU................
 
Ulishaenda bohari kuu ya dawa ukaambiwa hakuna dawa?

Matatizo ya watumishi wa umma kupiga dili kwa kuingiza dawa madukani mwao usiituhumu serikali, bohari kuu ya dawa ina dawa za kutosheleza.


Labda useme wenye kufanya ujinga wabanwe, wabunge wanapatiwa fedha za maendeleo ya jimbo wanakula. JPM mmoja alimbana huko kusini. Si hao tu kuna Madaktari wanageza dawa hizo ni mitaji, suala la dawa usiipakazie serikali kuu imefanya wajibu wake. Huko ngazi za chini ndiyo kuna madudu.

Kazi ya serikali ni nini? Serikali inatakiwa kusimamia dawa zote mpaka pale zinapomfikia mgonjwa. Kama serikali imeshindwa kusimamia dawa kwenye bohari ya taifa au hospitalini je itaweza kusimamia kodi za wananchi?
 
Back
Top Bottom