Samahani wakuu hicho kitabu cha chand third edition kinauzwa shiling ngapi?.naombeni msaada wenu.
kama upo mwanza ni pm nitakufanyia 35,000, bookshop ni 45,000!
Unaweza kunilipa robo tatu nyingine utalipa baadae.
Napenda vijana wanaojisomea!
Samahani wakuu hicho kitabu cha chand third edition kinauzwa shiling ngapi?.naombeni msaada wenu.
Hakuna kitabu kizuri kama UP... University physics...