Ni vipi naweza kuingiza pesa kwa kupitia digital arts?

Mr.genius

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
1,369
1,169
Nimekua na interest ya uchoraji (hasa wa cartoons) baada ya kupata simu moja hv aina ya Samsung Galaxy Note 4.

Zile ambazo hua zinakua na kikalamu cha kuchorea wenyewe wanaita S-pen. Nmekua nikicheza sana na haka ka kalamu kwa kujifunza kuchora cartoons za picha za watu sasa kitu kimoja nimekua nikijiuliza kuna chochote naweza kufanya kupitia ku chora cartoons ambacho kinaweza kuniingizia pesa?

Hasa kwny soko la digital arts? Sina uelewa sana na haya mambo je, hii biashara ya kuuza digital arts inafanyikaje na je, inalipa...?? Naombeni michango yenu wadau!
 
Some of the artworks I've draw!
1640754754531.jpg
1640525432043.jpg
1640192056010.jpg
 
Kama mleta mada alivyosema jaribu kuwa unachora logos itaweza kulipa in long-run

Pia jifunze kuchora vitu visivyofikiria kirahisi hii itakuongezea upekee. Chora kitu ata wewe iwe vigumu kuelewa
 
Mkuu tengeneza NFTs za kazi zako then ziuze kwenye platforms kama Opensea na nyingine nyingi. Nenda youtube kuna videos zitakusaidia kujifunza kuhusu NFT.
 
Mimi naweza kutengneza logo but cjui pa kuanzia na jinsi ya kufanya biashara hii
za sample then weka kwenTengenezaigital platforms kama hapa jamii tangazoum kama tangazo. Ntakusaidia kutangaza kazi yako kwenye page na website nyingine ukipenda
 
Mimi naweza kutengneza logo but cjui pa kuanzia na jinsi ya kufanya biashara hii
za sample then weka kwenTengenezaigital platforms kama hapa jamii tangazoum kama tangazo. Ntakusaidia kutangaza kazi yako kwenye page na website nyingine ukipenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom