...Jamaa angu kazini leo kaanzisha ligi ati mwanamke haridhiki kabisa hata umfanyieje kwa sababu ameumbiwa tamaa kama baadhi ya vitabu vya dini vinavyosema,sasa sijui kama ni kweli,lakini ninachokiamini mwanamke wa kweli ni mvumilivu though sina uhakika na hilo la kuridhika.
kidole huwa hakichoki kukuna sikio liwashalo...
jamaa yangu kazini leo kaanzisha ligi ati mwanamke haridhiki kabisa hata umfanyieje kwa sababu ameumbiwa tamaa kama baadhi ya vitabu vya dini vinavyosema.
Sasa sijui kama ni kweli, lakini ninachokiamini mwanamke wa kweli ni mvumilivu though sina
uhakika na hilo la kuridhika.