mazegezege
Member
- Mar 11, 2012
- 27
- 8
litakuwa tatizo laki operations hili.
Nadhani hazina wanahusika moja kwa moja.
hata mimi ni muathirika wa tukio hili.haya ndio madhara ya kuchagua ccm
lakini mbunge wa meru ni cdm amesema lolote?
Naona uzembe ni pande zote. Si waseme kuwa hawana pesa imeishia kwenye siasa chafu na kuzurura kwa rais wao. Shame on them all!
Jamani hayo ni matatizo ya kiufundi tu na ni jambo ambalo linafanyiwa kazi. Serikali haiwezi kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake.
Usiwatetee. Ni makusudi,
Hebu ona hili
There is a circular from Utumishi that all July 2012 promotion salaries > have been deferred until April 2013 and there shall be no arrears; and no > annual increment for 2012/13; no reasons were given for these decisions. > Interestingly, a letter from Hazina (a week earlier) had allocated funds > for both promotions and annual increment! > d. Treasury still remitting employers pension contribution instead of the > Universities (according to the SSRA and PPF acts)and which has brought a > lot of complexities
Kila serikali hapa duniani kwa sasa wanapunguza hayo mafao kwa wananchi wao, itakuwa Tanzania?.
Msipende kuilaumu serikali kwa kila jambo. Jaribuni kukaa chini na kuangalia ukweli halisi wa mambo.
Mnafikiri yale mapesa ya kugharamikia MKUTANO MKUU WA CCM KIZOTA yalitoka wapi, kama sio hazina.
FYI, hakuna matatizo ya ufundi wala nini, mwezi huu mishahrara italipwa 15/12. Mkutano MKUU WA CCM ulikausha HAZINA yote. Hiyo kwamba account number hazionekani, pelekeni particulars upya ni danganya toto ku-buy time wakati TRA wakiendelea kudunduliza.
Jamani hayo ni matatizo ya kiufundi tu na ni jambo ambalo linafanyiwa kazi. Serikali haiwezi kukosa mishahara ya kuwalipa watumishi wake.