KERO Kuna bomba la maji limepasuka kata ya Oloiren Arusha lakini hadi leo hakuna hatua zilizochukuliwa

KERO Kuna bomba la maji limepasuka kata ya Oloiren Arusha lakini hadi leo hakuna hatua zilizochukuliwa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Lyimo tsk

Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
12
Reaction score
5
Kuna bomba la maji limepasuka Arusha Kata ya Oloiren Mwanama Reli Kibaoni.

Taarifa ilitolewa tangu mwezi mei kwa simu lakini mpaka leo hakuna hatua zozote zimechukuliwa.

Maji yanavuja na barabara inaharibika

Soma Pia: Nipo nje ya mji, nyumba imefungwa Kata ya Olorieni - Arusha lakini bili ya maji imekuja Sh 26,000

Mamlaka ya Maji inapoteza mapato na raia wanakosa maji

Huu ni Uzembe au kukosekana uwajibikaji?


IMG_20260525_105206_518.jpg
 

Attachments

  • IMG_20260626_121220_681.jpg
    IMG_20260626_121220_681.jpg
    1.5 MB · Views: 3
Kuna Bomba la maji limepasuka Arusha Kata ya Oloiren.. Mwanama Reli Kibaoni. Taarifa ilitolewa tangu mwezi mei Kwa simu lakini mpaka leo hakuna hatua zozote zimechuliwa. Maji yanavuja na barabara inaharibika. Mamlaka ya Maji inapoteza mapato na raia wanakisa maji.Huu ni Uzembe au kukosekana uwajibikaji?View attachment 3617264
Haya ndiyo matokeo ya kulazimishiwa viongozi ambao hamjawachagua. Hawajali. nganeni kuondoa huu utawala haramu wa wauaji.
 
Back
Top Bottom