kero ya maji arusha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna bomba la maji limepasuka kata ya Oloiren Arusha lakini hadi leo hakuna hatua zilizochukuliwa

    Kuna bomba la maji limepasuka Arusha Kata ya Oloiren Mwanama Reli Kibaoni. Taarifa ilitolewa tangu mwezi mei kwa simu lakini mpaka leo hakuna hatua zozote zimechukuliwa. Maji yanavuja na barabara inaharibika Soma Pia: Nipo nje ya mji, nyumba imefungwa Kata ya Olorieni - Arusha lakini bili ya...
  2. Thomas Odera

    JamiiForums Tanzania KERO Uhaba wa maji jijini Arusha

    Kuna tatizo la maji katika jiji la Arusha eneo la Njiro tangu jana mchana mpaka leo. Sijui kama ni kwa eneo ambalo nafanyia kazi au na maeneo mengi ya jiji. Hebu mamlaka husika ilifanyie kazi. cc Wizara ya Maji
Back
Top Bottom