Ni ukweli upi hasa kuwa dunia ni ya duara

gerit

JF-Expert Member
Jul 16, 2016
307
181
Wakuu pole na majukumu. Katika kusoma kwangu kidogo bado sijapata uhakika pasipo shaka kuwa dunia ni duara. Kwani hata ukisafiri vipi bado unakuwa juu ya uso wa surface na inaonekana bado ni almost tambalare hatugeukii chini wala dalili uwe Japan au Nigeria wala si Marekani. Wenye ufahamu zaidi Tafadhali nisaidieni. Nawasilisha
 
Yan katika watu walio nichekesha n ww......halaf kama ukiweza kushika mawingu na kuzunguka dunia utaweza
 
Niliangalia muvi ya oblivion ikanifanya niwaze sana mambo ya antactica, yale maeneo tunayoambiwa hayakaliki.
 
Ile niliisoma mkuu darasani lakini ukitoka nje ya darasa kuangalia uhalisia inatia shaka
Asante kama uliisoma, na ukakubali radius ya earth ipo.



Jambo jepesi unalopaswa kujihioji ni kwanini Tanzania inaweza kuwa mchana wakati nchi zingine n usiku.
 
Asante kama uliisoma, na ukakubali radius ya earth ipo.



Jambo jepesi unalopaswa kujihioji ni kwanini Tanzania inaweza kuwa mchana wakati nchi zingine n usiku.
Nashukuru mkuuu; hapo dunia inakuwa inajizungusha kwenye mhimili wake ndio maana tunapata usiku na mchana.

Ila nadhani huenda eneo watu wanaishi ni tambarare ya uso wa dunia. Maana kokote uendako utofauti ni hali ya position ya jua lakini kwenye surface kupo almost plain.

VP kama kuna wajumbe wanatuandikia vitu vya kusoma shule kwa maslahi yao lakini tunakubali tu SBB hatujui sawasawa? Ili wao wawe busy na ufumbuzi Wa mambo ya maana??? Hisia tu.
 
Back
Top Bottom