Ngemaita
Member
- Nov 4, 2016
- 84
- 33
Dalili, nyayo za miguu zinauma, magoti yanauma, vidole kuhisi umefunga damu haipiti vinadunda, mishipa kuuma, kichwa kuuma, uvumbe kichwan kwenye kisogo, maumivu ya kifua, Homa, muwasho usononi, maumivu ya tezi na kuvimba, uchovu mwingi, hasira, moyo kupiga kwa nguvu, kikohozi kikavu, usingizi mwingi, JAMAN NISAIDIENI NI UGONJWA GANI?!