Ni ugeni tu!

Ni ugeni tu!

yuclighty

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
676
Reaction score
325
Habarini za usiku huu wana MMU! Sina mengi saana ila tu ni ujio tu wangu humu ndani, maana jogoo la shamba haliwiki mjini, xo nkishazoea ntawika, usiku mwema wapendwa.
 
Habarini za usiku huu wana MMU! Sina mengi saana ila tu ni ujio tu wangu humu ndani, maana jogoo la shamba haliwiki mjini, xo nkishazoea ntawika, usiku mwema wapendwa.

we ni ke au me ?
 
I think una career ya psychology, unajitahidi ivoivo kugues
 
Hata ucfanye manouver mengine hilo ndo lenyewe MR. CONFIDENCE
 
kama ni ke humu wanaume wote wameoa kasoro mimi sasa wasikudanganye kuna wazee wanawajukuu kabisa sasa natunga mistari ili nikupange unielewe na mimi nioe kama wenzangu
 
Karibu sana, mimi ndio mwenyekiti hapa jukwaani...
 
Back
Top Bottom