Ni udhaifu mkubwa sana Man Utd kupaki basi dakika 80 nzima.

Hope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Ndio maama Manutd haitachukua kombe.
 
24131515_10155904086368598_7023263462895989628_n.jpg
Hapa kweli walitoa na matairi kabisa.
 
Man u wnajifariji mpira magoli ila kiukweli mpira hawajui, trh 10 watapaki basi si la sayar hii
 
Man u wnajifariji mpira magoli ila kiukweli mpira hawajui, trh 10 watapaki basi si la sayar hii
hata tukiweka treni hakuna tatizo. na siku hiyo hakuna kupaki basi wala nini na matokeo yatakuwa DRAW
waiting.
 
Hope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Tulipo wapiga nane tulienjoy sana tu...... A Match is all about strategies, yes nakubali Mourinho anaiharibu man utd na kuifanya sio timu ya kutisha tena when it comes to winning.

Lakini hapo hapo Mourinho is trying to send a message, kuwa sio ball possessions that gets you 3 points, ni strategies tu. Wewe tizama Arsenal inavopiga kabumbu, soka la entertainment kabisa, lakini miaka 10 amekuwa anapigania nafasi ya kuingia uefa tu na sio ubingwa, kwa sababu hana startegies kabisa, anacheza common footbal wa passing and pressing tu. but not finding a weak spot on the opponent.

Mfano, vita ya dunia, Japan alipokwenda kushambulia pearl harbor alivuruga sana, ametumia ndege nyingi, ammunitions kibao, lakini baada ya hapo USA alitumia ndege zake 2 kila moja ikiangusha nuclear bomb 1, ambayo imetosha kuuharibu mji mzima..... hichi ndicho kilichotokea kwenye ile game, najua mashabiki wa Arsenal mnapenda kujipa moyo, kujisifia, lakini ni kama mmarekani na mjapani, shuti zenu 14 goli 1, man utd shuti 4 goli tatu..... kwaio mmeumizwa tu :D
 
Hope mpo swalama,
Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.
Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.
Ivi niwaulize mashabiki wa Man U mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Itakuwa wamekuchania mkeka. Pole.
 
Aisee ingawa Utd tulishinda ile mechi ila ukweli tuseme hakuna mabadiliko makubwa tutayaona kwa morinho kwa mpira anaojaribu kutuleletea OT. tumeoneshwa ni kiasi gani tunaweza kufungika kirahisi, ni umakini tu arsenal walikosa pamoja na kipa wetu kuamka vizuri siku hiyo. Hata kama tuliwafunga arsenal aisee ila jamaa wana attacking moja ya hatari sana ni miaka nilikuwa sijawashuhudia mbele wakiwa na ubora kama ule... akicheza ule mpira na Man city sijui tutaachwaje maana wale ni bora wakafungwa na timu yoyote EPL ila sio UTD
 
Endeleeni kucheza vizuri mtashinda taji la peke enu.
Ya mkosaji haya ndio tushawanyuka yenu mkagawane sijui mkalale nayo

Man Utd mpira mzuri tuliuacha bada ya kustaafu Sir Alex. Hivi sasa tunatafuta ushindi tu, mchezo mzuri utrejea baada ya kuachana na Jose..
 
Endeleeni kucheza vizuri mtashinda taji la peke enu.
Ya mkosaji haya ndio tushawanyuka yenu mkagawane sijui mkalale nayo

Man Utd mpira mzuri tuliuacha bada ya kustaafu Sir Alex. Hivi sasa tunatafuta ushindi tu, mchezo mzuri utarejea baada ya kuachana na Jose..
 
Mashabiki wa Mama esta utd hapo wa nafurahia tu sababu wameshinda ila wangefungwa ndio ungeona povu lao sasa

Kwao morinyo akipak basi na wa kashinda ni kocha mzuri, akipak basi akafungwa wanasema mbaya na matusi yote atapewa


Mimi nashabikia Man U lakini sijawahi kumkubali huyu kocha Jose hata siku moja. Sifurahishwi na mbinu zake za kufundisha soka.
 
Man Utd mpira mzuri tuliuacha bada ya kustaafu Sir Alex. Hivi sasa tunatafuta ushindi tu, mchezo mzuri utarejea baada ya kuachana na Jose..
We shida yako nini kwa team yako ?? Yaani unataka nini ??
 
Man u wnajifariji mpira magoli ila kiukweli mpira hawajui, trh 10 watapaki basi si la sayar hii
Defence is part of the game and it's an art as well.....
Una defend by attacking au kuweka ukuta....
Winners knows both attacking and defending.....
Unfortunately for gunners they know little of the two...ndiyo sababu for 13 years wapowapo tu......
 
Hope mpo swalama,

Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.

Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.

Hivi niwaulize mashabiki wa Man Utd mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
siku zote man u hawanaga mpira mzuri kama wa arsenal. Sisi wengine wala hatukushangaa
 
Man U pamoja na usajili wa pesa nyiiingi bado ni timu ya hovyo hovyo inayofunga magoli ya kulazimisha sana na kubahatisha.

Haiwezekani mchezewe kama watoto.

Ni Aibu kubwa kwakweli.
Mwisho wa siku.. ni chenga au magoli ndio vitampa mtu ushindi?
Kwa rekodi tu chenga haijawahi kumpatia mtu kombe. Ila idadi ya point na magoli
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom