Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
athe..hii kitu inaniumiza sana hivi kila kitu kuhusu ubahili wapare?jamani kwa maisha ya sasa kuna mtu ambae atongi na bajeti...afu wapare wa 1890 ad sio wa sasa,utasikia mara oooh wapare washirikina....oooh mara wapare wabahili....oooh wapare ma la ya jamani mbona kila baya kwetu...nani amesema kuna kabila halina hivyo vitu kweli kuna kabila fuska kama waleee.......wanaokula bunyebwa na matoke.[nawataka radhi}enbu tusichafuane tusije kokosa vimwali humu,napita tu
mamndenyi mi wanyika na vome banaaa
mi kyasaka mtoluuuu sio mbegu ile ya ndungu au mamba miamba hahahah mamndenyi,ila mtani kama ni wamarangu lazima we cheupe dawa haha
mrozi....mkuu wa itifaki nani atanirogaaaaaaaa
we amu mboina mi thinaa gubu.....
Hahahaaaaando unakuwa kamaa nini kama sijakusoma clear and loud....au mi pasho??
mkuu inabidi tuangalie manake hawa jamaa hawaishi kutusema...
Murungu.....!!! haariiika! Kumbe na wee ni mbwange wa kipare lol.!?
Ni pm Nienda nikuvwire kindhu chedi avae..!