Nguvu ya network inategemea na mtandao husika, sidhani km kuna uhusiano wowote na simu, mhimu simu iwe ni origina ....inawezekana ndio mara ya kwanza unatumia cm ktk maisha yako mkuu!
Sio kweli mkuu, mimi mwaka jana nilikwenda katavi sehemu moja inaitwa mnyamasi nilikuwa na simu moja ya alcatel nililetewa tu, bwana kijiji kizima kuna sehemu mmoja tu ambapo kuna mti ndio kuna mtandao tena ni vodacom tu ukitoka pale hatua mbili tu haina mtandao ila ni mimi tu ndio nilikuwa na uwezo wa kupokea au kuongea na simu sehemu yoyote ile!!! Hadi niliacha gumzo pale wakati hii nyingine ya bei kubwa haishiki kabisa!! Hadi wasukuma wakawa wanafika bei ila nikakataa kuiuza.Nguvu ya network inategemea na mtandao husika, sidhani km kuna uhusiano wowote na simu, mhimu simu iwe ni origina ....inawezekana ndio mara ya kwanza unatumia cm ktk maisha yako mkuu!
ukiwa unaongea na simu mtu mwingine akikupigia ataambiwa busy ila kuna simu nyingine ikipiga ina block maongezi yenu na kuingia
kwaiyo sio network tu hata simu inahusika kwa kuwa na nguvu.
Sio kweli mkuu, mimi mwaka jana nilikwenda katavi sehemu moja inaitwa mnyamasi nilikuwa na simu moja ya alcatel nililetewa tu, bwana kijiji kizima kuna sehemu mmoja tu ambapo kuna mti ndio kuna mtandao tena ni vodacom tu ukitoka pale hatua mbili tu haina mtandao ila ni mimi tu ndio nilikuwa na uwezo wa kupokea au kuongea na simu sehemu yoyote ile!!! Hadi niliacha gumzo pale wakati hii nyingine ya bei kubwa haishiki kabisa!! Hadi wasukuma wakawa wanafika bei ila nikakataa kuiuza.
Hadi sasa simu iliyokuwa powerful kwa kukamata network ni ALCATEL hawa jamaa mwisho ,wao hawashuguliki sana na uzuri wa umbo la simu ,ila wanakwenda na wakati na ndio wao wanaongoza kwa utengenezaji wa mitambo ya mawasiliano yenye uhakika kuanzia vyombo vinavyokwenda angani hadi vinavyozamia baharini.
Na kabla hujanunua ya bei mbaya tafuta iliyochoka kwanza ili kujiridhisha ,nenda nayo hata sehemu hawajui simu ni kitu gani basi itakupa network iliyokaribu ,na kwa ufupi hawashughuliki na kutoa new model kila mwaka ,ila kama nilivyosema wanakwenda na wakati na simu zao hazibebi tag kubwa ya bei. Hizo simu ni hatari kwa kunasa network huwezi kuamini ,simu zote unazozijua zitapoteza mawasiliano ila ALCATEL itakupa hata ikiwa ipo kwenye zero basi bado unaweza kuzungumza.
Kwa kutilia nguvu niliyoyasema ona'
Alcatel-Lucent has been named Industry Group Leader for Technology Hardware & Equipment sector in the 2014 Dow Jones Sustainability Indices review and listed in the 2014 Thomson Reuters Top 100 Global Innovators for the 4th year in a row.
Alcatel-Lucent holds Bell Laboratories, one of the largest research and development facilities in the communications industry. Bell Labs employees have been awarded eight Nobel Prizes and the company holds over 29,000 patents.
Sio kweli mkuu, mimi mwaka jana nilikwenda katavi sehemu moja inaitwa mnyamasi nilikuwa na simu moja ya alcatel nililetewa tu, bwana kijiji kizima kuna sehemu mmoja tu ambapo kuna mti ndio kuna mtandao tena ni vodacom tu ukitoka pale hatua mbili tu haina mtandao ila ni mimi tu ndio nilikuwa na uwezo wa kupokea au kuongea na simu sehemu yoyote ile!!! Hadi niliacha gumzo pale wakati hii nyingine ya bei kubwa haishiki kabisa!! Hadi wasukuma wakawa wanafika bei ila nikakataa kuiuza.
Hivi mkuu Alcatel ndio zile zenye mkonga!!?