JEMEDARI .H.
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 341
- 63
Wakuu naomba kujua ni simu aina gani nokia,tecno,iphones,htc,huawei,blackberry,samsung,sonny xperia,itel au aina gani ambazo huwa na nguvu ya network hasa katika maeneo ambayo yana mtandao wa shida?