Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,643
Samatta anasumbuliwa na Majeraha. Na ndio ametoka kurecover soon! Ameshaanza mazoezi ya kuchezea Mpira!
Pale alipofika sio pa kubeza. Na bado ana nafasi ya kwenda MBELE zaidi ya pale! Anaweza asifike EPL, lakini La Liga ama Ligue 1 anaweza kutusua!
Pale alipofika sio pa kubeza. Na bado ana nafasi ya kwenda MBELE zaidi ya pale! Anaweza asifike EPL, lakini La Liga ama Ligue 1 anaweza kutusua!