Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,397
Kuna raha yake kumuona mchezaji wa nchini akacheza mpira huko LaLiga,Bundesliga au pale kwa Malkia.
Unamuona mtu wa Kondoa,Kyela au Mbagala akicheza timu moja na Messi au yupo pale kwa Mourinho na Pogba,ana furaha gani mkenya anayemuona Olunga anafunga hat-trick LaLiga?...
Wakati Mbwana Samatta akianza kuwika nilijua huenda akawa Mtanzania wa kwanza kumuona kwenye ligi kubwa duniani.Lakini hali ninayoiona sasa inanifanya nijiulize "ni Samatta au nimsubiri mwingine?"
Unamuona mtu wa Kondoa,Kyela au Mbagala akicheza timu moja na Messi au yupo pale kwa Mourinho na Pogba,ana furaha gani mkenya anayemuona Olunga anafunga hat-trick LaLiga?...
Wakati Mbwana Samatta akianza kuwika nilijua huenda akawa Mtanzania wa kwanza kumuona kwenye ligi kubwa duniani.Lakini hali ninayoiona sasa inanifanya nijiulize "ni Samatta au nimsubiri mwingine?"