funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
kiasilia m/mke anatakiwa kutunzwa na kujaliwa na mumewe hata kama ana hela kiasi gani itabidi tu uwe unampatia vizawadi ili aone unamjali hata kama ana kipato zaidi unaweza kumwomba hela kisha unamnunulia zawadi kwa hela yake hiyo hiyo ili mradi ajue kuwa unamjali