cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kwa wale ambao wameingia kwenye mahusiano hasa ya mke na mume au ya mapenzi inapendekezwa mkiishaingia rasimi inakupasa kublokiana ili msiwe mnachunguliana leo umepost nini,status,na umekoment nini kwa followers wako au kuacha mitandao ya kijamii
Kuna mgogoro umeibuka hapa kwa jirani baada ya mwanaume kuona comments za mke wake wakiitana na mwanaume mmoja Facebook kuwa "My,mke,dear" na mwanamke amekuwa akireply" My,mume love "
Mwanaume alivyohitaji kujua kulikoni mwanamke akasema huyo kaka wa Fb alimuomba wawe wanaitana kama watu walio kwenye mahusiano ili mpenzi wake walioachana hivi karibuni aumie
Mwanaume bado anadai hajaridhikana majibu ya mke wake
Je ni sahihi kuendelea kutumia mitandao ya kijamii mnapokuwa kwenye ndoa kama jibu ni ndiyo,je ni sahihi kuendelea kuwa friends au follower kwa mwenzako au kumblock ili kuzuia kuchunguzana umekuwa online, umekoment nini au walikoment nini kwenye post zako ?
Kuna mgogoro umeibuka hapa kwa jirani baada ya mwanaume kuona comments za mke wake wakiitana na mwanaume mmoja Facebook kuwa "My,mke,dear" na mwanamke amekuwa akireply" My,mume love "
Mwanaume alivyohitaji kujua kulikoni mwanamke akasema huyo kaka wa Fb alimuomba wawe wanaitana kama watu walio kwenye mahusiano ili mpenzi wake walioachana hivi karibuni aumie
Mwanaume bado anadai hajaridhikana majibu ya mke wake
Je ni sahihi kuendelea kutumia mitandao ya kijamii mnapokuwa kwenye ndoa kama jibu ni ndiyo,je ni sahihi kuendelea kuwa friends au follower kwa mwenzako au kumblock ili kuzuia kuchunguzana umekuwa online, umekoment nini au walikoment nini kwenye post zako ?