miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Soma utumbo wa the so called pastormatusi yametoka wapi tena?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Soma utumbo wa the so called pastormatusi yametoka wapi tena?
Kwanini unawachokoza!!Ngoja tupekue na upande wetu wavaa vipedo na yeboyebo kama kweli wanasema hatupendi Elimu bali tunapenda Ilimu Akhera.
Anajulikana ndio sijakataa hata mimi namfahamu, lakini je, ni wote tulikuwa tunafahamu kuwa ni manajeshi komandoo? Point yangu ni ilikuwa hapo.
Eeh, huwa kwenye kazi hizo za wito tuko vzr sana. Wamashati mmetisha sana
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hawajuagi tu Rombo ndo makao makuu ya uzalishaji wa mapadre kuna nyumba watoto wote wanne wamekua mapadre mpk nikapata hurumaHaswaa... kuna kijamaa kimesema mahali eti ni mhaya, nikasema hiiiii!!!
Ngoja akitoka hapo tumuulize mwenyewe
Rome empirempaka kuwa sheikh inawezekana chief. hao jamaa waonage tu hvyo hvyo.
Mungu ni mwema wakati woteKristu -Tumaini letu, Tumaini letu -Kristu
Rev. MKKutegemeana na taratibu na sheria za nchi fulani mapadri walipitia au hudumu katika jeshi sanjari na upadri wao.
Kwa nini hukushangaa mchungaji "Mode" kuwa TISS na Director wa TEETH?
Siku ukijua Gwajiboy ni komandoo wa jeshi usishangae pia
✓ 💯%
Vatcan ni serikai kamaili yenye majajusi wake na idara ya usalama, wenye utii mkubwa na uwezo wa kuibadilikia hata inchi aliyo zaliwa,ni taasisi tajili yenye kumiliki ardhi na miradi Duniani kote,watu wao wa usalama ni pamoja na hao,kuhakikisha hakuna mali wala fedha na heshima yao inanyakuliwa na mtu yoyote au taifa lolote.View attachment 2033297
Padri Henry Rimisho wa kanisa katoliki, jimbo la Moshi leo ametunukiwa shahada ya uzamivu katika usanifu majengo (PhD in Architecture) ya chuo kikuu cha Ardhi. Padri Rimisho ana shahada ya sayansi katika usanifu majengo (Bachelor of Architecture) na Shahada ya umahiri katika usanifu majengo (Master of Architecture) zote kutoka chuo kikuu cha Ardhi.
Baada ya miaka minne ya kusoma kwa bidii, kufanya tafiti na kuandika maandiko mengi ya kutaalamu, hatimaye leo ametunukiwa shahada ya uzamivu katika usanifu majengo (PhD in Architecture). Padri Rimisho ni Professional Architect aliyesajiliwa na Board ya Wasanifu Majengo na wakadiriaji majenzi (AQRB). Amesanifu majengo mengi ndani na nje ya nchi, pamoja na majengo ya jeshi. Pia ni Mhadhiri wa chuo kikuu cha Ardhi.
Kwa upande mwingine Padri Rimisho ni Askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) mwenye cheo cha Meja (cheo kinachofuata baada ya Kepteni). Pia ni Komandoo wa JWTZ (Millitary Ordinariate) na ameshiriki operesheni kadhaa za kijeshi nje ya nchi, ikiwemo operesheni ya kulinda amani ya Darfur.
Padri Rimisho ni Mmisionari wa shirika la Apostles of Jesus, ambaye ana shahada ya kwanza ya Falsafa (Bacholer degree in Philosophy) na Shahada ya Utaalimungu (Bachelor degree in Theology) kabla ya kubarikiwa kuwa Padri.
Kwahiyo Rimisho ni Padri, ni Meja wa JWTZ, ni Komandoo katika uwanja wa vita, na ni Msanifu mwenye shahada ya uzamivu (PhD) katika usanifu majengo. Kwa hiyo unaweza kumuita Rev.Fr.Dr.Major Henry Rumisho (PhD).
Kama uliwahi kusikia neno "Genius" basi tafsiri halisi ya neno hilo ni Padri Rimisho. Uwe Padri, uwe mwanajeshi, uwe Komandoo, uwe Msanifu majengo, uwe PhD holder, vyote kwa wakati mmoja sio kitu rahisi kabisa. Huu ni utumishi wa aina yake na ni watu wachache walioweza kuexplore karama zao zote kama Padri Rimisho. Hongera Rev.Fr.Dr.Major Henry Rumisho (PhD), Hongera kanisa katoliki, Hongera JWTZ.!
Credit @malisa_gj
Hii unaweza kuwa point nakubaliNadhani Military Ordinariates wana sare zao tofauti. Ni maoni yangu tu pia. Cuz hata camouflage za JKU, KVZ, JKT, JWTZ na wale jamaa Presidential hazifanani.