Ni Nini kilipelekea Simba kuchabangwa 1-5?

balibabambonahi

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
14,459
12,584
Ilikuwa tarehe 5/11/2023 siku ambayo mashabiki wa Simba waliamini Kwa kuwa kulikuwa na Mvua basi wangemfunga mpinzani wao mkubwa Yanga.

Wanasimba walijiapiza kwamba lazima washinde Ile mechi na hata wakampa hadhi ya mgeni rasmi mchezaji wao waliyetegemea angefunga magoli au angalau goli Moja, Kibu Dennis.

La haula ,Simba alichapwa kama mtoto mdogo,akaondoka na kapu la magoli mwisho wa siku.Bado mashabiki na wapenzi wa Simba hadi leo hawaamini kilichotokea Pamoja na kumfukuza kazi kocha wao a k a KaSHAIJA BuTEGE bado hawajapata majibu.

Je, ni nini kilisababisha Simba kukandwa 1-5;siku ya 5/11/2023?
 
FB_IMG_17000625854937076.jpg
 
Ilikuwa tarehe 5/11/2023 siku ambayo mashabiki wa Simba waliamini Kwa kuwa kulikuwa na Mvua basi wangemfunga mpinzani wao mkubwa Yanga.Wanasimba walijiapiza kwamba...
Matokeo yale yanatufundisha tusiishi sana kwa imani upo ushahidi wa baadhi ya wanachama kwa nyakati tofauti walieleza hisia zao kuwa uchezaji wa timu yao unawakosesha amani pia wapo wachambuzi waliosema simba hii hata ukiiangalia bar unasinzia pia wapo waliohoji kwa nini baadhi ya wachezaji hawachezeshwi na alisikika Muhtaza Dewji akisema hajaona kocha zaidi ya comedian

Hizo zote zilikuwa wake up call au dalili ya mvua ni mawingu sema nguvu ya media ikafunika kombe wakitegemea mwanaharamu atapita yataisha kisanii

Matamshi matamu yakafunika ukweli mnyama akayakanyaga
 
Matokeo yale yanatufundisha tusiishi sana kwa imani upo ushahidi wa baadhi ya wanachama kwa nyakati tofauti walieleza hisia zao kuwa uchezaji wa timu yao unawakosesha amani pia wapo wachambuzi waliosema simba hii hata ukiiangalia bar unasinzia pia wapo waliohoji kwa nini baadhi ya wachezaji hawachezeshwi na alisikika Muhtaza Dewji akisema hajaona kocha zaidi ya comedian

Hizo zote zilikuwa wake up call au dalili ya mvua ni mawingu sema nguvu ya media ikafunika kombe wakitegemea mwanaharamu atapita yataisha kisanii

Matamshi matamu yakafunika ukweli mnyama akayakanyaga
Simba walidharua mwiba
 
Hata kesho wakikutana Simba vs Yanga halafu wakacheza mpira wao wa kitoto kama walivyocheza ile mechi waliyoloweshwa mabao matano na Yanga, Simba atakung'utwa mabao 10.

Kukosa Ngoma kwenye ile mechi mnyama alikuwa anaadhirika goli 12
 
Hata kesho wakikutana Simba vs Yanga halafu wakacheza mpira wao wa kitoto kama walivyocheza ile mechi waliyoloweshwa mabao matano na Yanga, Simba atakung'utwa mabao 10.

Kukosa Ngoma kwenye ile mechi mnyama alikuwa anaadhirika goli 12
Yaani Kanoute Putin alikuwa anazungushwa kama mtoto pale kati ..ulimi nje ....ndio maana wamefukuza fitness coach ..
Pale goli LA 6 lingekuja kama refa angeongeza dakika 5 tuu
 
Eti simba hawaamini. Mimi naona utopolo ndio hawaamini kama wameifunga timu kubwa Afrika ndio mana wamepanga kufanya sherehe miaka miwili kwa kuanza kunywa supu, kuweka mabango Afrika nzima pamoja na kuchapisha jezi za matokeo. Wewe unaona ni kawaoda hiyo au ni kutojiamini kwa uopolo?
 
Eti simba hawaamini. Mimi naona utopolo ndio hawaamini kama wameifunga timu kubwa Afrika ndio mana wamepanga kufanya sherehe miaka miwili kwa kuanza kunywa supu, kuweka mabango Afrika nzima pamoja na kuchapisha jezi za matokeo. Wewe unaona ni kawaoda hiyo au ni kutojiamini kwa uopolo?
Timu kubwa Africa kwa mafanikio yapi?
 
Eti simba hawaamini. Mimi naona utopolo ndio hawaamini kama wameifunga timu kubwa Afrika ndio mana wamepanga kufanya sherehe miaka miwili kwa kuanza kunywa supu, kuweka mabango Afrika nzima pamoja na kuchapisha jezi za matokeo. Wewe unaona ni kawaoda hiyo au ni kutojiamini kwa uopolo?
timu kubwa huwa hazipanic kindezndez kama simba
 
Ilikuwa tarehe 5/11/2023 siku ambayo mashabiki wa Simba waliamini Kwa kuwa kulikuwa na Mvua basi wangemfunga mpinzani wao mkubwa Yanga.

Wanasimba walijiapiza kwamba lazima washinde Ile mechi na hata wakampa hadhi ya mgeni rasmi mchezaji wao waliyetegemea angefunga magoli au angalau goli Moja, Kibu Dennis.

La haula ,Simba alichapwa kama mtoto mdogo,akaondoka na kapu la magoli mwisho wa siku.Bado mashabiki na wapenzi wa Simba hadi leo hawaamini kilichotokea Pamoja na kumfukuza kazi kocha wao a k a KaSHAIJA BuTEGE bado hawajapata majibu.

Je, ni nini kilisababisha Simba kukandwa 1-5;siku ya 5/11/2023?
Kashaija Butege...dah.
 
Ilikuwa tarehe 5/11/2023 siku ambayo mashabiki wa Simba waliamini Kwa kuwa kulikuwa na Mvua basi wangemfunga mpinzani wao mkubwa Yanga.

Wanasimba walijiapiza kwamba lazima washinde Ile mechi na hata wakampa hadhi ya mgeni rasmi mchezaji wao waliyetegemea angefunga magoli au angalau goli Moja, Kibu Dennis.

La haula ,Simba alichapwa kama mtoto mdogo,akaondoka na kapu la magoli mwisho wa siku.Bado mashabiki na wapenzi wa Simba hadi leo hawaamini kilichotokea Pamoja na kumfukuza kazi kocha wao a k a KaSHAIJA BuTEGE bado hawajapata majibu.

Je, ni nini kilisababisha Simba kukandwa 1-5;siku ya 5/11/2023?
Dalili za kipigo kikubwa ziluanza toka mapema lakini Simba walikuwa on denial. Usajili wao ulikuwa wa ovyo. Tomu haiko balanced kabisa. Defence mbovu na hakuna strikers wa kutosha. Wamejaza viungo kibao. Hakuna mchezaji anayeweza kutoka bench akaja kubadilisha mchezo. Utamtegemeaje Saido, miaka 38, acheze dakika 90 kila mechi? Kwa hiyo lilkuwa suala la muda tu hii kutokea. Kimgukuza kocga ni kutibu dalili siyo ugonjwa.
 
Back
Top Bottom