hasa awapo kitandani,ajitume na kamwe asilale na nguo!awe mchapa kazi sana na awe mvumilivu wa shida na matatizo ya hapa duniani...
Hapo kwenye red jamani si utamuonea yaani hata ukichelewa kurudi nyumbani anashinwa kukuuliza lolawe mchapa kazi sana na awe mvumilivu wa shida na matatizo ya hapa duniani na pia awe mpole
acha matusi yasiyo na maaanaAwe ana uzoefu wa Kutombwa vingine mbwembwe tu
Salaamu wana JF,nakuja na wazo lingine likitaka ushauri wenu wa kina. Je ni ipi sifa nzuri zaida ya zote kwa mwanamke wa kuoa, je ni mwenye sura nzuri na maumbile yenye mvuto au ni mwenye tabia nzuri hata kama hana maumbile yenye mvuto?
hasa awapo kitandani,ajitume na kamwe asilale na nguo!
angalau kwa zile siku zinazotambuliwa za nanilino!!hata siku moja?