Naomba kufahamishwa anaejua hawa watu wanakuja inbox whatsap na kukuomba usave namba zao kwa kutazama status na mengneyo, leo nimetumiwa ujumbe na watu wawili tofauti ni wapi wamepata namba zangu na ni nini plan zao??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.