Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,114
- 55,533
Labda ulikuwa unasugua sana,ukamjerui.
Na kama ni after two weeks alikuwa kwenye siku ya 14 ambayo ni ovulation mimba imenasa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zake baba kijacho,hahahaa
Sio wanaume wote ujue. Mi siko hivyo wallahUmemtimua mbio kisha ukaanzisha uzi humu
Badala ya kumsaidia mwenzio hata kwenda hospitali...wanaume nyie!!
Sio wanaume wote ujue. Mi siko hivyo wallah




















Huu uzi inaonekana umeandika hata boxer hujavaa hebu vaa kwanza na uhakikishe umeosha trigger yako usikae kae na uchafu sio nzuri kiafya.
Sent using Jamii Forums mobile app
0762939236Nipe namba yake nimshauri. Huo ugonjwa ni moja ya magonjwa ya sirini kwa akina mama.
Nilitamani nitoe hiyo elimu hapa ila muktadha haupo rafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaa!!Ni kweli sio wote
Ila wewe umo
😁Khaaa!!
Kwanza kabla ya yote hebu tueleze hiyo papuchi kakuletea kwenye chombo gani?


