Mke wangu anasumbuliwa na macho kwa kipindi kirefu sasa. Huwa anadai yana kama vikokoto na huwa yana muwasha na kupelekea macho kuvimba, nime mpeleka hospital alipata dawa yalitulia kwa muda tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.