KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,768
- 86,454
Wivu tu..😂We nawe kwenda huko..wa kuoa utakuwa wewe
Ntakuwowa wewe Basi..😉
Wivu tu..😂We nawe kwenda huko..wa kuoa utakuwa wewe
😂😂 Wivuu?..si mpakaWivu tu..😂
Ntakuwowa wewe Basi..😉
Unisemee kwa Nani..??😂😂 Wivuu?..si mpaka
Nikusemee?
Eewaaaaa! Hii shape tamu sanaa. Ubarikiwe sana mkuu.
Let's meet at the top, cheers![]()
Kwa pisi kaliUnisemee kwa Nani..??
Kweli kaumbika
Atajwe..Kwa pisi kali
Kibonge mwikoAtajwe..
Yani huyu ndio amesababisha jamaa akaja kuanzisha uzi? Duh, kweli tunatofautiana!
Nishatupa kule huyo ninamkasa mwengine!.. ngoja nipone kisogo nitakileta..😅Kibonge mwiko
😂😂😂😂Nishatupa kule huyo ninamkasa mwengine!.. ngoja nipone kisogo nitakileta..😅
Huko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali😂😂😂😂
Ila we kwa Mikasa tu hujambo..na Bora wanavyokufundisha adabu🤣🤣
Kufundishwa adabu hukooo..😂😂 ona unavyojiona mwamba..🤣🤣🤣Huko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali
Halafu Kuna kitu nataka nikuambie!Kufundishwa adabu hukooo..😂😂 ona unavyojiona mwamba..🤣🤣🤣
Embu niambie icho kituHalafu Kuna kitu nataka nikuambie!
Nisaidie kiingereza Kuna pisi ya marekani nimeopoa tatizo ung'eng'e mama ntaumbuka kiberenge wa watu..Embu niambie icho kitu
😂😂 Ukaumbuke tu.. mwenyewe patupuNisaidie kiingereza Kuna pisi ya marekani nimeopoa tatizo ung'eng'e mama ntaumbuka kiberenge wa watu..
Haya Sasa kwisha habari yangu!.. naenda kuumbuka nilimdanganya nina PhD kumbe la Saba D!😂😂 Ukaumbuke tu.. mwenyewe patupu
Uzi wa majigambo na uliojaa sifa hivi bila picha ni sawa sawa na kukengeuka

blaa