KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimepita samora leo nikawana naangalia majengo nikawa na hasira na utawala mbovu!Nikaona maandishi yameandikwa MAKAOMAKUU YA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA,Nikakumnbuka mashirika yaliyotia fola enzi hizo ukisikia mtu anafanya mashirika haya unakaa naye mbali
- BIMA
- TANESCO
- NMC
- RELI
- BANDARI
- NASACO
- RTC
- POSTA NA SIMU
- SUDECO
- NBC
- TTC
- BUSHTRAKER
- Tangayika Pekers
- TAFICCO
- NACO
- NARCO
- BBH
- SUNGURATEX
- BOT
- REVENUE AUTHORITY