GE2025 Ni muhimu sana watia nia wote wa ubunge na udiwani CCM kujiandaa kisaikolojia kwa hotuba, kuteuliwa na kuenguliwa

GE2025 Ni muhimu sana watia nia wote wa ubunge na udiwani CCM kujiandaa kisaikolojia kwa hotuba, kuteuliwa na kuenguliwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,829
Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu.

Binafsi nimechukua na kurejesha fomu za uteuzi nafasi ya ubunge nikiwa na matumaini makubwa mno, kwa haki kutendeka kwa kila mtia nia kupitia vikao makini sana vya mchujo na uteuzi ndani ya CCM 🐒


Mungu Ibariki Tanzania
 

Attachments

  • IMG-20250702-WA0049.jpg
    IMG-20250702-WA0049.jpg
    89.1 KB · Views: 33
Yaani wajumbe wakuchague halafu anaza mamlaka ikutengue. Why hiyo mamlaka isitume majina yake mapema kabisa kuepusha watu kutumia gharama kubwa kushawishi wajumbe Kama tunavyoona wakati huu
 
Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu.

Binafsi nimechukua na kurejesha fomu za uteuzi, nikiwa na matumaini makubwa mno na vikao makini sana vya uteuzi 🐒

View attachment 3391632

Mungu Ibariki Tanzania
Utapita kwa kishindo Sasa Uchawa utamuachia Mwashambwa!
 
Yaani wajumbe wakuchague halafu anaza mamlaka ikutengue. Why hiyo mamlaka isitume majina yake mapema kabisa kuepusha watu kutumia gharama kubwa kushawishi wajumbe Kama tunavyoona wakati huu
calm down gentleman,
elections is process of procedures 🐒
 
Failed states huwa zinaanza kimzaha tu.
Ukiangalia aina ya watu wanaochukua hizo fomu na mfumo unaotoa ushindi wa uchaguzi ndo unajua nchi ipo iCU
 
Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu.

Binafsi nimechukua na kurejesha fomu za uteuzi nafasi ya ubunge nikiwa na matumaini makubwa mno, kwa haki kutendeka kwa kila mtia nia kupitia vikao makini sana vya mchujo na uteuzi ndani ya CCM 🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Tlatlah unazungumzia haki?

"Ccm ina wenyewe"...kaa kwa kutulia utawaona baada ya mchujo then ujitafakari!
 
Tlatlah unazungumzia haki?

"Ccm ina wenyewe"...kaa kwa kutulia utawaona baada ya mchujo then ujitafakari!
ndio nazungumzia haki.

ni kweli CCM ina wenyewe na wenyewe ni watia nia wanachama WA CCM na na wajumbe wapiga kura wa CCM 🐒
 
Failed states huwa zinaanza kimzaha tu.
Ukiangalia aina ya watu wanaochukua hizo fomu na mfumo unaotoa ushindi wa uchaguzi ndo unajua nchi ipo iCU
Taifa letu ni imara sana, na mifumo ya uchaguzi na utoaji haki imeimarishwa zaidi, huku siasa holela zikidhibitiwa bara bara kwa misingi ya kistaarabu ya kisheria.

narratives mbalimbali potofu hupuuzwa na wananchi kwa umoja wa kiwango cha juu mno 🐒
 
hakuna faraja kwenye uchaguzi, ukishindwa au ukishinda ndio imetoka hivyo, mpaka wakati mwingine tena 🐒
Naona umeleta uzi wa chama kisicho na mvuyo toka jana, imebidi uujibu mwenyewe ili upate wachangiaji. Lete wa cdm ili upate wachangiaji wengi.
 
We andaa hela ya Wajumbe tu! Kama huna kazi iendelee JF.
Vinginevyo utarudi hapa kulalamika juu ya mchakato mzima wa kuchuja.
 
Hujatia Mbulu au Hanang mkuu umekwama nini?!! Au unavizia teuzi ya kichawa?
 
Back
Top Bottom