Ni mtizamo tu

Kuna mtu mwenye Microscope humu? Aniazime ili niisome hii thread vizuri, (miwani yangu imefeli)
 
Jane26 nahisi kukupenda sana
 
Duuuh yamekukuta,pole sna
 
Afu utakuta mtu wa hvyo analinga et nmeolewa...na mkopo bank unaenda kuchukua mjenge au mnnue kiwanja, my dear dada he is nt your hubby hilo ni danga tu sema wew unadangia nyumban mwanamke anaejitambua awez Kujigemula et kisa ndoa and sababu anakaa na wew unampa kila kitu wala haend kwenu kutoa mahali mwsho wa cku unaachwa anaolewa mwngne.... You are a human being not a glass kua unaweza vunjika! Kaa kwenu...
 
Hahaha my dear danga usikie!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…