ni mpenzi wangu au na wengine wako ivi

ni mpenzi wangu au na wengine wako ivi

mangi mandara

Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
64
Reaction score
2
Kama kawaida yangu jamani wakubwa zangu shkamooni wadogo zangu maraaba,ni yule mpenz wangu alevunja cm yake kama mnakumbka vzur kwawale ambao walopitia ule uzi wananelewa,saiv keshapata cm nyngine sjamnunulia sjui kapata wapi au labda kanunua ila ameanzisha jambo jpya,mpenz wangu uyu kila akitoka skul anaoga anakula anatafta cm ilipo anajilaza kitandan alaf ananipandia ewani,yani mtoto ataongea uyo mpaka bas bila masaa mawili kuisha bas nisa li1 na nusu au1,sasa kwakweli inanikera na nnashndwa kumwambia kwamba ananichosha kuongea kwa mda mref na mimi si muongeaji jamani,minataka kama ni mpenz wangu bhana tuongee dak20 au 30 bas inatosha jaman ntafanyaje sasa anielewe na ni kila siku ndo mtindo wake uo na ndo anafanya mtiani wa form4 nanlimwambia saiv awe bize kidogo na masomo,leo yenyewe wako pepa ya7 ahsante ushaur jaman,kejeli,matusi,spendagi,naimani apa pana wastaarabu watupu.
 
^^
Nimekukumbukaaa..
Endelea tu kuumia kama huwezi kumuambia..subiri akiwa na mimba ya mwingine ndo ujue madhara ya phone love
^^
 
^^
Nimekukumbukaaa..
Endelea tu kuumia kama huwezi kumuambia..subiri akiwa na mimba ya mwingine ndo ujue madhara ya phone love
^^

Mkuu hivi form 4 si ndio wako kwenye mitihani ya taifa? Afu kuna mijitu huwa inailaumu NECTA wakati wanafunzi wenyewe ndo hawa. Mitoto mpaka ikombolewe na Big Results Now????
 
Mkuu hivi form 4 si ndio wako kwenye mitihani ya taifa? Afu kuna mijitu huwa inailaumu NECTA wakati wanafunzi wenyewe ndo hawa. Mitoto mpaka ikombolewe na Big Results Now????

^^
Hili nalo neno!! Division 7 iongezwe kwa wanaotumia social networks!
Asprin Miss you
^^
 
Last edited by a moderator:
Huyo mtoto lazima hatapata division5 ambayo ni sawa na division0 uliyopata wewe. Huwa hainiingii akirini kuona mtu mwenye akiri timamu akawa na mpenzi wa shule ambazo wanafunzi wanavaa uniform!
 
Huyo mtoto lazima hatapata division5 ambayo ni sawa na division0 uliyopata wewe. Huwa hainiingii akirini kuona mtu mwenye akiri timamu akawa na mpenzi wa shule ambazo wanafunzi wanavaa uniform!

Uliyosema ni kweli kabisa
Akili si akiri
 
Mpaka hapo ameshapata Div 5 hata kabla hajamaliza mitihani kipindi kama hiki kwa wanafunzi hasa 4m4 huwa wanakuwa karibu sana na mungu kuliko vipindi vyote katika masomo sasa huyo wako ndo yuko bize na wewe halafu eti unashindwa kumkataza kwa hiyo kwa kukaa kimya atabadilika? Hebu mkemee aache ujinga ebo huo siyo upole ni ujinga sasa unafikiri ndo atahisi unampenda au?
 
hazbendi, hujui kuna divisheni 5 siku hizi?



Mkuu hivi form 4 si ndio wako kwenye mitihani ya taifa? Afu kuna mijitu huwa inailaumu NECTA wakati wanafunzi wenyewe ndo hawa. Mitoto mpaka ikombolewe na Big Results Now????
 
ngoja umumimbe ndo utajua kama mpenzi wako au na wengine.Mijitu mingine bana
 
kaka kumbuka kutembea na mwanafunzi ni statutory rape, siku ukipigwa pingu utujulishe tafadhali
 
Ungekuwa uko nae karibu ningekuomba umtandike viboko ili aache ujinga, wenzie saahivi wana presha za mitihani ye ana presha za mapenzi.
 
...wote wawili wewe na huyo shori wako MMEANZA MAPEMA SANA HAYA MAMBO YA MAPENZI....kuweni makini itawakost na kufeli si necta tu, bali MAISHA kwa ujumla wake......im disappointed! elimu inaheshimiwa kweli?kwanza we kaka unafanya shughuli gani au nawe ni mwanafunzi?
 
Back
Top Bottom