mynisha
Member
- Aug 29, 2012
- 10
- 2
jamani wana jf naomba kusaidiwa mimi nikiwa katk yal mambo ye2 na my haniiii huwa sifeel kitu na wakati mwingine huwa nasikia maumivu ....... mpenzi wangu akaniambia labla ninatatizo kwenye kizazi tht y cifeel chochote so nikamwone doctor nilikubaliana nae kuwa huenda kweli nikawa na matatizo bt katika kufanya utafiti nikaona kunam2 kaelezea humu jf sababu za mwanamke kutopata raha wakati wa tendo akadai sababu moja wapo ni maandalizi mabaya wakati wa sex ....... nikicomper na mpenzi wangu huwa hatuna maandalizi ya kutosha cz mara nying huwa anaanza moya kwa moja na sex after kuwa nicked my be ata2pia na kic kidogo zen anaanzisha safari huwa napata maumivu mda mwingine cifeel ki2 chochote co nitatizo langu au hata kutokuwepo kwa maandalizi ni chanzo mojawapo na niliwai kumwambia labda cz huwa unafikia kusex moja kwa moja wthout kutomasana bt he waz never put my requst on concrdtn >>> naomba ushauri wenu ni kweli nina matatizo? . au hata maandalizi mabaya yanaweza yakawa ni chanzo plz naomba kusaidiwa kwa ushauri na si kutukanwa ...,...au.... kujibiwa ovyo nahitaji ushauri wen plz end plz