Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Basi kwetu mimi huwa nampenda sana yule fisi wa baba wa kutembelea usiku huwa namuulizaga kwa nini huwa hamtumiagi mchana na kwa nini hapendagi niwaambie watu. Nampenda ila huwa ananitisha sana aisee dah! Basi mzee huwa ananiambia atakujanikabidhi huo usafiri siku moja ila mi naonaga ni utani tu.