Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,533
Teh te teh! Usinimind sana, si unajua katika kunogesha tu mambo! Hata kwenye story kuna mahanjumatijaman Kingmairo ndo ushanifananisha na kanyani! Sobhuza uko wapi umckie Kingmairo????????
Teh te teh! Usinimind sana, si unajua katika kunogesha tu mambo! Hata kwenye story kuna mahanjumatijaman Kingmairo ndo ushanifananisha na kanyani! Sobhuza uko wapi umckie Kingmairo????????
haya utuote wana chit chat wote eeeh!
hahahaha we noma, emh mwaga stry humu.. huyu mtot wa rck cty anatulingshia mbwa wke.!!
haya utuote wana chit chat wote eeeh!
Atuote ktk mazingira gani?
Teh te teh! Usinimind sana, si unajua katika kunogesha tu mambo! Hata kwenye story kuna mahanjumati
haya utuote wana chit chat wote eeeh!
kwahiyo we una ratiba ya kulala.
wote siwezi...nakupa wewe tu lol jijali wewe kwanza wengine wajisemee wao...teh
ktk mazngira hatarish
senkyuu sna kwa kunipa kipaumbele! haya kesho muote Madame B
Charminggirl usiku mwema na kwako pia..
pole, mie nawapenda.....kuna kipindi nilikuwa nao wengi mpaka sista wangu alivyokuja kwangu akanisema, nikawauza, nimembakisha smoky tu
pole, mie nawapenda.....kuna kipindi nilikuwa nao wengi mpaka sista wangu alivyokuja kwangu akanisema, nikawauza, nimembakisha smoky tu
mie nina mbuzi wangu(petty) basi huwa ananiburudisha.
Jioni nikiwahi namchukua kwa evening walk, tunaenda kaa kwenye river bank ya mto simiyu.
She is so cute, ananiangalia anatabasamu, tunakaa kimya tukiangalia ng'ambo ya mto.
Basi bado ni msichana, anatembea kwa madaha kweli, kiuno juu juu kama mtetea.
Ni mweupe!
Wengine tulishatoka makwetu!
Mie niko kwangu, ni hivi kwangu mie Kasuku ndiyo mambo yote .
Hongera kwa kubadili jina mkuu, naona unaitwa Sobhuza siku hizi.