Ni mh. Lowassa au dr. Magufuli?

Ni mh. Lowassa au dr. Magufuli?

regy201584

Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Wadau poleni na kazi na majukumu mbalimbali ya ujenzi wa taifa nilikuwa nataka kupima uwezo na weledi wao!
Je yupi katika viongozi hapo juu anafaa kuliongoza taifa la tanzania kulingana na hali ilivyo

A) YA KIUSALAMA; vituo kuvamia na matishio ya ugaidi na mambo yote ya kiusalama wa nchi

B) KIUCHUMI; thamani ya shillingi yetu kuporomoka

C) TATIZO LA AJIRA. Katika maeneo mengi nchini

D)UMASKINI ulio kisiri miongoni mwa watanzania
E) UFISADI NDANI YA SERIKALI

namengine mengi niliyo sahau wadau hebu tuchangie kwa tafakuri ya kina
 
Wadau poleni na kazi na majukumu mbalimbali ya ujenzi wa taifa nilikuwa nataka kupima uwezo na weledi wao!
Je yupi katika viongozi hapo juu anafaa kuliongoza taifa la tanzania kulingana na hali ilivyo

A) YA KIUSALAMA; vituo kuvamia na matishio ya ugaidi na mambo yote ya kiusalama wa nchi

B) KIUCHUMI; thamani ya shillingi yetu kuporomoka

C) TATIZO LA AJIRA. Katika maeneo mengi nchini

D)UMASKINI ulio kisiri miongoni mwa watanzania
E) UFISADI NDANI YA SERIKALI

namengine mengi niliyo sahau wadau hebu tuchangie kwa tafakuri ya kina
 
Wote wanaweza kukabiliana na hizo changamoto ikiwa watapata watendaji wazuri pamoja na ushirikiano kutoka kwa wananchi na wadau mbalimbali.
 
Hiyo E inatekelezwa na mtu asiye muumini wa ufisadi
 
Chichiemu imeshindwa kwa miaka 50 na sasa wanataka tena....Lowassa ndo atakaeikomboa Tanzania na hakuna mwingne
 
Lowassa ana uwezo wa kupambana na changamoto zote hizo. Tumpe kura za kutosha!
 
Back
Top Bottom