Ni mauwaji ya kutisha huko Misri

Ni mauwaji ya kutisha huko Misri

Inasikitisha sana. Najiuliza maswali sipati majibu hivi hawa vijana walipata wapi ujasiri wa kuvamia kambi ya kijeshi ilihali wao wana mawe tu ! Kweli ukitaka kujua uondo wa ngoma sharti uingie uwanjani ucheze.
 
Usijaribu kuipiga Israel utajipiga mwenyewe. Unaona mkwara wa morsi Ethiopia umemurudia.
 
Niliwaambia hapa majuzi inahitaji muda tu kuiona misri ikifuata nyayo za Syria,mashariki ya Kati sasa italipuka yote,na mtu anaekuja kuathirika zaidi ni babu yangu alie geita huko maana bei ya mafuta itapanda vibaya mgogoro mpya wa kiuchumi duniani unanukia,nashangaa kuna watu walikuwa wakishangilia mapinduzi ya kijeshi hapa
hata mimi nashangaa walivyomtoa Mubarack watu humu walikuwa wanaimba peoples power......... leo yako hivi sijuu tumebeje................sasa sijui hao peoples power walishindwa kuwa na utashi wa kujua chuya na mchele. haya ndiyo yatakayojiri kwa wenzetu wa vidole viwili nilivyoviona kule kwenye post ya Mzizi Mkavu.
 
Kuna jamaa walisema jeshi tz lijifunze kutoka Misri. Cjui akili zao wameazimisha watu. Yaishie hukohuko.

Nilivyoelewa: Jeshi liwe huru; bila ya kufuata benderra ya kijani. Hivyo, liweze kutoa hatma ya nchi pale mambo yatakapoharibika. Jeshi la Misri lilikaa kimya, hata Morsi alipoonyesha kushindwa kuhimili upepo, ndipo likaweka mambo kama kadiri ya uwezo wake.
Ila kwa Tanzania, na Katiba yetu ni vigumu sana.
 
Back
Top Bottom