Ni maoni yako hapa?

Ni maoni yako hapa?

jaffari yogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
685
Reaction score
148
Mwanaume kumpikia mke/ girlfriend wake chakula, kwako unaionaje?
A: Mme -----
B: Ndio upendo wa kweli
C: Limbwata linafanya kazi
D: Kusaidiana lazima
E: Mbwembwe tu
F...............?
 
F: Inategemeana maana huwezi fanya jambo kama hilo bila sababu.
 
Hakuna ubaya wowote ndugu..wewe kama hufanyi hivyo bado unaishi enzi za ukoloni na,mfumo dume.....
 
Back
Top Bottom